Luke 1:5

Kuzaliwa Kwa Yohana Mbatizaji Kwatabiriwa

5 aWakati wa Herode mfalme wa Uyahudi, palikuwa na kuhani mmoja jina lake Zekaria, ambaye alikuwa wa ukoo wa kikuhani wa Abiya. Elizabeti mkewe alikuwa pia mzao wa Aroni.
Copyright information for SwhNEN